Selemani Kidunda amewasili kwa namna yake katika eneo la kupima uzito ('Kampani' ya kutosha) kuelekea pambano lake dhidi ya Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini.
Hebu tazama......vipi Asemahle atatoboa kweli?
Uhondo ni kesho Warehouse Masaki na tutakuwa LIVE #AzamSports3HD kuanzia saa 12:30 jioni