"Mungu ni Mungu" ni moja kati ya nyimbo za mtumishi wa Mungu Lea Amos ambao umependwa sana na watu wengi. Leah Amos ni Mtanzania ambaye anafanya kazi ya Mungu kwa njia ya uimbaji. Yupo ytayari kufanya kazi ya Bwana na mtu yeyote yule na mahali popote. Unaweza kumpata kwa simu hii +255 714 494 974 au tembelea www.rumaafrica.blogspot.com