Mwanamitindo asiyeishiwa vituko Bongo Calisah ameibuka na kuiambia eNEWZ kwamba anashangazwa na muonekano wa mastaa wa kiume bongo kwani hauvutii na hata wakitokea sehemu yeyote hawashtui kwani wapo kawaida sana ni wabaya na hawana muonekano, tofauti na yeye mda wote anakuwa msafi mpaka kwenye kwapa.