AMSHUKURU @DIAMONDPLATNUMZ MBELE YA RAIS MAGUFULI
Rais wa Kondegan @harmonize_tz alitumia nafasi aliyopewa kutumbuiza mbele ya Rais Magufuli Ikulu Dodoma kumshukuru Boss wake wa zamani @diamondplatnumz kwa kumshika mkono kumtoa kwenye jina la Rajabu mpaka sasa Mataifa yanamjua kwa jina la @harmonize_tz
Harmonize alitoa shukrani hizo wakati akimtambulisha msanii wake wa kwanza kwenye lebo yake ya muziki ya #KondeMusicWorldWide @ibraah_tz
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram https://www.instagram.com/rickmediatz/?hl=en
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook https://web.facebook.com/rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#HARMONIZE #DIAMONDPLATNUMZ