Mungu amekuwa mwaminifu sana katika maisha yetu, Nyimbo hii inaelezea kuhusu sisi tuliowazima lazima kumshukuru Mungu kwa kuendelea kutupa pumzi na uzima tulionao, kwani wapo watu wako mahututi na wengine wamelala. tujitahidi kuwa karibu na Mungu